Tuesday, March 7, 2017

TANZIA:KATIBU MWENEZI CCM KATA YA MAPOROMOKO AFARIKI DUNIA


Image may contain: one or more people and people sitting

Adam Nsige enzi za uhai wake
NA KENNEDY SIMUMBA
          Katibu mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kata ya Maporomoko iliyopo ndani ya halmashauri ya mji wa Tunduma ndugu Adam Elia Nsige amefariki dunia usiku wa kuamkia leo.
          Akizungumza na DSS TV katibu wa siasa na uenezi CCM  Momba ndugu Hassan Nyalile amesema  Adam amefariki ikwa ni wiki moja tangu arudi safarini nchini Zambia na msiba upo nyumbani kwa baba yake, mzee Nsige. Mwli wa marehemu Adam Nsige utazikwa leo Jumatano saa sita mchana.

          DSS TV inawapa pole wanafamilia wote wa Adam Nsige na Mungu awatie nguvu kwenye kipindi hiki kigumu.Mbele yake nyuma yetu.


No comments:

Post a Comment