Saturday, March 4, 2017

CHINA,MWAKAJOKA WAWEKANA SAWA,,

             

CHINA,MWAKAJOKA WAWEKANA SAWA,,
Baada ya Kuwepo kwa tofauti ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA )
kati ya mbunge wa jimbo la Tunduma mhemiwa Frank Mwakajoka (CHADEMA) na mwenyekiti
wa CHADEMA mkoa wa Mbeya mheshimiwa China leo wamefanya maridhiano kwenye kikao
cha ndani kilichofanyika kwenye ukumbi wa stapples mjini Tunduma mbele ya mh EMMANUEL G MASONGA ambae ni katibu mkuu wa Chadema kanda ya nyanda za juu kusini. Viongozi hao
wameombana radhi na kusameheana na kusema sasa wataendelea na harakati za chama kama
kawaida





                                           DSS TV ULIPO TUPO

No comments:

Post a Comment