Tuesday, March 7, 2017

TANZIA: Mama Kikwete Afariki Dunia


Kupitia ukurasa Instagram wa Mbunge wa Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete ameandika ujumbe Kuhusu kifo cha Bi Nuru kama unavyosomeka hapo chini...

"TANZIA Ndugu na Marafiki nasikitika kuwatangazia Msiba/Kifo cha Bibi Yetu Bi.Nuru Khalfan Kikwete Kilichotokea asubuhi hii katika Hospitali ya Muhimbili alipokuwa amelazwa kwa Matibabu. Taratibu za mazishi tutajulishana . Innallilllah wainnaillah rajuun.#"


No comments:

Post a Comment