Friday, February 3, 2017

MVUA YABOMOA NYUMBA 15 TUNDUMA

Mvua kubwa inayoendelea kunyesha kwenye maeneo mbalimbali ya halmashauri ya mji wa Tunduma imebomoa nyumba 15 kwenye mtaa wa Msamba 2(Kakunku).
Wakizungumza na DSS TV wahanga wa tukio hilo wameiomba serikali iwasaidie kwani  kwa sasa wapo katika hali ngumu.







No comments:

Post a Comment