Thursday, December 22, 2016

DSS TV: KALIBU BAHALI ZOO SASA TUNDUMA

Kiongozi wa msafara Faraja Mbwambo akiongea na Dss Tv amesema kuwa  wananchi wa Tunduma hawatakiwi kuikosa furusa  hii kwa sababu ni muhimu sana kujivunia utarii wa ndani Njoo uwaone wanyama 
 Simba,Fisi, Mbega na Chatu katika Shule ya msingi Mwaka kuanzia tarehe24/12/2016 mpaka tarehe 1/1/2017








No comments:

Post a Comment