Tuesday, August 30, 2016

WALEMAVU WAFANYA HARAMBEE LEO TUNDUMA

Harambee hiyo imefanyika leo katika ukumbi wa High Class  na kuhudhuriwa na viogozi mbalimbali akiwemo makamu meya wa Tunduma Mheshimiwa Herode Jivava,mwenyikiti wa Unyamwanga na mgeni rasmi alitarajiwa kuwa  mheshimiwa Frank Mwakajoka mbunge wa jimbo la Tunduma ambaye  aliwakilishwa na  mheshimiwa Mwavirenga   diwani wa kata ya Sogea.Mheshimiwa Mwavirenga aliwakabidhi walemavu cheti cha usajiri


  Baba mlezi na Mama mlezi

 Cheti cha usajiri


 Mwenyekiti wa kikundi akikabidhiwa cheti cha usajiri

USIKOSE KUANGALIA VIDEO YA HARAMBEE HIYO KESHO KWENYE 
YOUTUBE YA DSS TV TUNDUMA TZ 





No comments:

Post a Comment