Friday, March 3, 2017

Viongozi wa Chadema watinga mahakamani Kusikiliza kesi ya Lema


Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Godbless  Lema akishuka kwenye gari kuingia mahakamani.

 Viongozi mbalimbali wa Chadema wakiongozwa Katibu Mkuu wa Chadema Dr Vicent Mashinji, Waziri Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema Edward Lowasa, Waziri Mkuu Msaatafu Sumaye na Meya wa Jiji la Arusha Mjini Kalisti Lazaro wakiwa mahakamani  kusikiliza uamuzi wa Mahakama kuhusu dhamana ya Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema unaotolewa leo

No comments:

Post a Comment