Thursday, March 2, 2017

Mbowe na Mkewe mikononi mwa TRA, Yawashutumu kwa Makosa haya



Mahakama ya wilaya ya Ilala imewaita mahakamani Freeman Mbowe na mkewe pamoja na aliyekuwa meneja wa klabu ya Bilicanas, Steven Miligo kwa maombi ya mamlaka ya mapato Tanzania(TRA) baada ya kushindwa kuwapata kwa kutumia barua za wito.

TRA inawashutumu kwa kushindwa kutumia mashine za EFD kutoa risiti, kutoa nyaraka za uongo kwa TRA na kushindwa kutekeleza matakwa ya usimamizi wa kodi.

No comments:

Post a Comment