Friday, March 24, 2017

MATATIZO YANAYOWAPATA WATUMIAJI WA BARABARA YA ISYONJE,KIKONDO NA MAKETE

NA KENNEDY SIMUMBA DSS TV,
Watumiaji wa barabara ya kutoka Isyonje,Kikondo na Makete wakitokea Uyole Mbeya wamekuwa wakikumbana na matatizo mengi ikiwemo kuchelewa kufika wanakokwenda.
DSS TV imeshuhudia abiria kadhaa wakikaa njiani kwa muda mrefu kutoakana na ubaovu wa barabara.

 MAGARI YAKIPISHANA KWA TABU
 BASI LIKIWA LIMEKWAMA HUKU ABIRIA WAKISUBIRI







No comments:

Post a Comment