Saturday, February 4, 2017

RC SONGWE AWATAKA WANANCHI KUTUNZA CHAKULA



NA KENNEDY SIMUMBA DSS TV,
Mkuu wa mkoa wa Songwe luteni mstaafu wa jeshi Chiku Galawa amewaomba wananchi wa Tunduma kutunza chakula kilichopo kabla ya msimu mpya wa mavuno.
Mheshimiwa Galawa ameyasema hayo kwenye maadhimisho ya miaka 40 ya kuzaliwa Chama cha mapinduzi CCM yaliyofanyika kimkoa mjini Tunduma kwenye uwanja wa ndani wa CCM Tunduma.

ZAMBI AZI PA SHAVU AWAMU ZOTE TANO
Mkuu wa mkoa wa Lindi na mwenyekiti wa CCM Mbeya na Songwe mheshimiwa Godfrey Zambi amezisifia serikali za awamu zote tano tangu Uhuru.
Mheshimiwa Zambi amesema serikali zote tano zimefanya kazi kubwa kwenye maendeleo ya nchi yetu.
ZAMBI AWAONGOZA VIONGOZI KUPANDA MITI
Kwa upande mwingine zambi amewaongoza viongozi mbalimbali wa chama wilaya na mkoa kwenye zoezi la kupanda miti kwenye shule ya msingi Manga.

No comments:

Post a Comment