Sunday, February 12, 2017

MTENDAJI MAPOROMOKO ACHELEWESHA TAFRIJA

     

 MTENDAJI WA KATA YA MAPOROMOKO

    Mtendaji wa kata ya maporomoko alichelewesha tafrija hiyo baada ya kuongoza mgomo wa kutoingia ndani ya ukumbi baada ya mama mmoja kufika kwenye tafrija akiwa amevaa mavazi yenye nembo za CHADEMA.
       Wakizungumzia tukio hilo viongozi mbalimbali walisema kitendo cha mtendaji huyo kuongoza mgomo si kizuri.
       Mtendaji huyo alidai kuwa yeye hawezi kuingia kwenye  tafrija huku  watu wengine wakiwa wamevaa nembo za chama kwani ni kinyume na taaluma aliyoisomea kwa sababu ule si mkutano wa chama bali ni tafrija ya watumishi wa serikali.







No comments:

Post a Comment