Sunday, February 12, 2017

DIWANI KATA YA MAPOROMOKO AWAPONGEZA WALIMU

      Mheshimiwa diwani wa kata ya Maporomoko iliypo kwenye halmashauri ya mji wa Tunduma mheshimiwa mwalongo amewapongeza walimu wa shule za msingi Maporomoko na Azimio zilizopo kwenye kata yake.
     Tafrija hiyo ilifanyika kwenye ukumbi wa Honey Moon Sogea ambapo walimu wa shule hizo walifika kwa wingi.
     Akizungumza kweny tafrija hiyo mheshimiwa Mwalongo amesema viongozi wanapopatwa na tatizo watumie hekima kwani wote ni wamoja na wanafanya kazi kwenye ofisi moja.
aidha mwalongo amesema ataendeleza mikakati yake wliyopanga ya kuwasaidia wanafunzi wa darasa la nne na saba.
                               












No comments:

Post a Comment