Wednesday, March 29, 2017

Zitto: NECTA Limesema hawana rekodi ya Albert Bashite wala Paul Makonda



Tumejulishwa kwenye Kamati kuwa NECTA hawana rekodi ya Albert Bashite wala Paul Makonda.

Yani wote hawapo kwenye kanzidata ya Baraza la Mitihani. Kwamba Tanzania haijawahi kuwa na wanafunzi wenye majina hayo

No comments:

Post a Comment