Monday, February 27, 2017

TIMU YA KINYIKA FC YAPOKEA KIPIGO CHA MBWA MWIZI

         Timu ya Kinyika FC imepokea kipigo kikali cha mabao 7-1 kutoka kwa Nungu FC katika mchezo wa kirafiki uliofanyika kwenye uwanja wa Kinyika kata ya Kinyika wilayani Makete mkoani Njombe,Kipigo hicho kimewaacha hoi mashabiki wa Kinyika FC na kuanza kulaumiana wenyewe kwa wenyewe

 MASHABIKI WAKILAUMIANA

No comments:

Post a Comment