Thursday, January 5, 2017

MEYA WA HALMASHAURI YA MJI WA TUNDUMA ATOA MREJESHO WA SHUGHULI ZA MAENDELEO 2015/2016


NA KENNEDY SIMUMBA, DSS TV
      Mwenyekiti wa halmashauri wa mji wa Tunduma Mhemiwa  Ally Mwafongo 
atoa  mrejesho wa shughuli za maendeleo ndani  ya halmashauri ya mji 
wa Tunduma kwa mwaka 2015/2016.
    Akizungumza na wakazi wa mji wa Tunduma kwenye mkutano wa hadhara wa serikali
uliofanyika kwenye viwanja Vya Shule  ya msingi Mwaka mheshimiwa Mwafongo amesema tangu
waingie madarakani wamefanya shughuli nyingiza maendeleo kama vile ukarabati kwenye shule  
za sekondari "J.M Kikwete na Mwalim J.K.Nyerere ukarabati wa machinjio ya Sogea, Mpemba na 
majengo  ya utawala kwenye shule zilzopo Tunduma.madaraja na miundo mbinu, vyoo mashuleni.           Mheshimiwa Mwafongo ameongeza kuwa pia upo mkakati wa kujenga shule mpya kwenye kata za Muungano, Mwaka Kati,  Chapwa na Katete 
      
MH.ALLY MWAFONGO (KATIKATI) AKIWA NA MBUNGE MWAKAJOKA (KULIA)
WANANCHI WAKISILIZA KWA MAKINI



WANANCHI WAKISIKILIZA KWA MAKINI





No comments:

Post a Comment