Monday, December 5, 2016

DSS TV: PASTOR EPHURAIM AKATAZA NDOA ZA KIHUNI.................


Pastor Ephuraim (Frack) abariki Ndoa ya Philipo Mwasomola na Rehema 
Pasta huyo akiwa anabariki ndoa hiyo. awashauri wanandoa ambao 
wanaishi kwenye ndoa bila kubariki ndoa zao. asema hawatambuliki 
kama ni wana ndoa halali kwa mjibu wa Biblia. pia ashauri kwa sasa 
kama hujabariki ndoa huruhusiwi kufana kitu chochote kile kinachohusina
na tendo la ndoa












No comments:

Post a Comment