Friday, November 18, 2016

LIGI YA MKOA DARAJA LA TATU SONGWE KUUNGURUMA LEO

NA KENNEDY SIMUMBA,DSS TV,
Ligi daraja la kwanza inaendelea leo ambapo mchezo wa kukata na shoka utapigwa leo kati ya Ifad FC ya Songwe na Morning Star FC ya Tunduma.
Mechi hiyo itapigwa uwanja wa Ifuko Songwe jioni ya leo.Wadau wa mpira wa miguu y mkoa wa Songwe mnaombwa kuhudhuria mechi hiyo.

No comments:

Post a Comment