Tuesday, October 18, 2016

PASTOR FARAJA KUTOKA RESTORATION KUFANYA MKUTANO WA NJE KISIMANI

NA PASCALINA NSENYE DSS TV,
Baada ya kufanya mikutano mingi ya ndani, Mchungaji wa kanisa la Restoration lililopo Tunduma. leo Juma nne tarehe 18.10.2016 utafanyika mkutano mkubwa kisimani Tunduma saa 10:00 jioni. Kwenye mkutano huo kutakuwa na waimbaji mbalimbali kama vile, Jesco na wengine wengi.
Nyote mnakaribishwa.
MWIMBAJI JESCKO EPHRAIM

No comments:

Post a Comment