Sunday, September 25, 2016

MABOMU YAPIGWA KWENYE MECHI YA FAINALI YA MBUNGE CUP 2016 TUNDUMA

  • Mchezo wa fainali  kombe la Mbunge Jimbo la Tunduma 2016 kati ya Morning Star na Migmbani FC uliochezwa uwanja wa Shule ya msingi TUNDUMA jioni hii umeingia dosari baada ya mashabiki wanaodaiwa kuwa  ni Migombani FC kuuvamia uwanja.Sintofahamu hiyo imetokea baada ya mlinda mlango wa Morning star kupoteza muda ilihali Morning Star wakiwa wanaongoza mabao 2_1.Kwenye vurugu hizo vitu mbalimbali vimeharibika vikiwemo viti vya wasimamizi wa mechi na vifaa vya DSS TV.





 


 VITI VYA WASIMAMIZI WA MECHI VILIVYOVUNJWA NA MASHABIKI

KINASA SAUTI CHA DSS TV KIKIWA KIMEVUNJWA NA MASHABIKI
POLISI WAKIPIGA MABOMU

MLINDA MLANGO WA MORNING STAR ALIYEDAIWA KUPOTEZA MUDA

No comments:

Post a Comment